Staa
wa Filamu za Kibongo, Yvonne Sherry ‘Monalisa’ hivi karibuni aliweka
wazi kuwa anatamani kuolewa lakini hajampata wa kumuoa.Monalisa
alifunguka maneno hayo baada ya uvumi kuenea kuwa amepata mtu anataka
kumuoa na mipango ya ndoa iko tayari.
“Mh!
Wewe si wa kwanza kuniambia maneno haya jamani hivi yanatoka wapi? Mimi
sijapata mtu wa kunioa jamani ila nikimpata nitaolewa kwa sababu jua
limekuchwa pia ndoa ni jambo la heri,” alisema Monalisa
Katikati
ya mwaka huu, Monalisa alionyesha matamanio yake ya ndoa ambapo alivaa
shera kwenye harusi ya rafiki yake na kuingia na mumewe ikiwa kama
maigizo kituko hicho kiliipendezesha shughuli hiyo
No comments:
Post a Comment