Friday, November 14, 2014

MSANII MAARUFU WA MAREKANI LADY GAGA AMEPITILIZA UCHIZI SASA, ATEMBEA UCHI MTAANI, TAZAMA SINEMA YA BURE HAPA


Sio Bongo Tu Wasanii Wanatafuta Kiki Kwa nguvu Mbali Hata Huko Marekani Wasanii Wanatafuta kiki Kila siku ili Majina yao yabakie midomoni mwa Watu , 
Mwanamuziki Mkubwa Lady Gaga Ambae amezoeleka kwa kuwa na vituko vingi awapo jukwaani  sasa amehamishia vituko mtaani baada ya kunaswa akitembea akiwa amevaa T-shirt tu bila nguo chini kitu kilichofanya watu kumshangaa kila anapopita....

No comments:

Post a Comment