.
Party ilifanyika Club Rouge na kuwahusisha rafiki zake pamoja na
Watanzania wengine waliojitokeza baada ya kupata taarifa kwamba November
8 2014 mrembo huyu angeagwa kwa kufanyiwa hii party Dar es salaam.
Miss Dodoma ambae pia ni Miss Tanzania 2013 Happiness Watimanywa (20)
aliandaliwa party ya kuagwa ambapo anatarajia kusafiri Jumamosi ijayo
kuelekea Uingereza kuiwakilisha Tanzania kwenye kinyang’anyiro cha
kumsaka Miss World 2014 Desember 14.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
No comments:
Post a Comment