MSANII WA COMEDY ABAMBWA CLUB AKIYAFANYA MAJAMBOZI BILA AIBU ETI ALIKUWA ANAFANYA SHOW?!!

 
A well known comedian in Uganda, Amooti, invited an almost nak3d woman on stage who offered herself to be used in demonstrating a joke. 

An eye witness in club Amnesia in Uganda, alleged that the comedian was illustrating a joke that involved sl33ping on top of a woman.

It is rumoured that, its not the first time for Amooti to pull out such stunts while performing on stage… Here are the photos!!! Is This Comedy to you???



http://tamuyapenzi.blogspot.com/

SODOM AND GOMORRAH IN HIGH SCHOOLS!!! THESE TWO WERE CAUGHT ON HIDDEN CAMERA DOING THIS

Sodom And Gomorrah In High Schools!!! These Two Were Caught On Hidden Camera Doing This...One word to them

Saturday, November 22, 2014

MAMBO YOTEE HADHARANI KIFO CHA BILIONEA ..usome tena

Stori: Hami da Hassan na Haruni Sanchawa
KIFO cha tajiri maarufu mjini Bukoba, Leonard Mtensa (50) ambacho kimetingisha kanda nzima ya ziwa, kilichotokea dakika chache baada ya marehemu kudaiwa kufanya mapenzi ndani ya gari lake, sasa mambo hadharani juu ya kila kitu kilichotokea, Risasi Jumamosi linakupa mkanda mzima.
Tajiri maarufu mjini Bukoba, Leonard Mtensa akichunguzwa na daktari.
Tukio hilo lililozua gumzo mjini Bukoba, lilitokea usiku Novemba 18, mwaka huu ambapo imeelezwa kuwa marehemu ambaye ni baba wa familia, kabla ya kupatwa na umauti, alikutwa ndani ya gari yake aina ya IST lenye namba za usajili T. 982 CQG akifanya mapenzi na mchepuko wake aliyetajwa kwa jina la Jackline Hassan (25) maeneo ya Buyekere mjini Bukoba.
Mwili wa marehemu, Leonard Mtensa ukitolewa hospitali ya mkoa wa Bukoba kupelekwa nyumbani kwake kuzikwa siku ya leo.
TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo makini, siku ya tukio marehemu ambaye anamiliki Klabu ya Linas, alidaiwa kunywa pombe kali aina ya  Whisky Bond pasipo kula vizuri huku akisumbuliwa na tatizo la presha hivyo wakati akifanya yake ndani ya gari, ghafla presha ilipanda, akaanza kutapatapa.
Msafara wa magari ukitoka kuchukua mwili wa marehemu hospitali kuelekea nyumbani kwake.
“Si unajua tena jamaa umri umeenda kidogo na anasumbuliwa na presha, sasa inawezekana na kinywaji alichokunywa ndiyo kilitibua zaidi. Pombe ukiwa hujala huku una tatizo la presha madhara yake ndiyo haya,” kilisema chanzo chetu.
Mke wa marehemu akiwa haamini kama mumewe amefariki.
APEWA MSAADA
Baada ya hali yake kubadilika ghafla, inadaiwa kuwa mpenzi wake badala ya kukimbia kama ambavyo wengine hufanya, yeye alifanya juhudi kubwa kujaribu kuokoa jahazi kwa kupiga simu kwa marafiki wa marehemu, lakini kabla hawajafika, mtu mmoja alitokea na kumsaidia marehemu kumpeleka katika kituo cha Afya cha CLCT-Ndolage.
AFIA NJIANI
Chanzo hicho kilizidi kumwaga data kuwa, baada ya mtu huyo kujitolea kumkimbiza hospitali, hali ya Mtensa ilizidi kuwa mbaya ambapo alifariki kabla hajafika hospitali.
“Wakati wanamchukua kwenye gari, mapigo ya moyo yalikuwa yakimwenda mbio sana kabla hajafika hospitali akafariki,” kilisema chanzo chetu.
Binti aliyekuwa na marehemu.
HOFU KWA MREMBO
Chanzo kilidai kuwa, baadhi ya marafiki wa marehemu waliingiwa hofu na mrembo huyo na kuwa na wasiwasi wakihoji chinichini kwamba pengine alimpa marehemu kitu kibaya.
“Marafiki wa marehemu waliingiwa hofu sana na mazingira ya kifo, walikuwa wakijiuliza isije kuwa mrembo aliyekuwa naye amempa kitu chenye madhara,” kilisema chanzo chetu.
ASHIKILIWA NA POLISI
Kamanda wa polisi mkoa wa Kagera, ACP Henry Mwaibambe alikiri kutokea kwa tukio hilo ambapo alisema wanamshikilia Jackline kwa ajili ya upelelezi zaidi.
Waombolezaji wakiwa nyumbani kwa marehemu.
AIBU, SIMANZI MSIBANI
Chanzo hicho kilizidi kueleza kuwa, msibani nyumbani kwa marehemu maeneo ya Kyakairabwa, kata ya Nyanga, waombolezaji walikuwa wakiona aibu kuzungumzia kifo chake hadharani kwa kuona ni kashfa hasa kwa kuwa marehemu alikuwa mtu anayeheshimika katika jamii.
Jeneza la marehemu, Leonard Mtensa.
“Unajua hakuna mtu hata mmoja ambaye anataka kuongelea kifo cha baba huyo, hata marafiki zake hawaongei kabisa kwani wanaona kuwa ni kashfa kwa sababu Mtensa alikuwa ni mtu maarufu sana si kwa hapa Bukoba tu, bali hata jijini Mwanza na kanda ya ziwa kwa jumla,” kilisema chanzo hicho.
WHISKY BOND IPOJE?
Ili kutaka kufahamu uhusiano wa kilevi alichokutwa nacho marehemu na kifo chake, Risasi Jumamosi lilimtafuta daktari mmoja mtaalamu wa magonjwa ya binadamu, (jina linahifadhiwa) ambaye alisema kitendo cha mwanaume kupoteza maisha akiwa anafanya mapenzi ni jambo la kawaida.
“Wako watu wanaofariki wakiwa wanafanya tendo, inategemea, wengine wanakuwa na historia ya magonjwa kama shinikizo la damu, sasa ile nguvu inayotumika katika tendo na kama ugonjwa utatokeza wakati huo, uwezekano wa kupoteza maisha ni mkubwa.
“Halafu pombe kama hii ni kali, sasa kama mtu alikuwa na matatizo ya presha, akawa amezidisha kiwango ni rahisi zaidi ku-collapse (hali kubadilika) wakati wa tendo. Tatizo lingine linaweza kuwa ni aina ya vyakula anavyokula kufuatia matumizi ya pombe yenye kilevi cha juu.
Mfano wa gari aina ya IST alipokutwa marehemu.
“Maana unakuta mtu mwingine anakunywa kilevi kikali lakini hapendi kula, hili nalo ni tatizo kubwa. Vinywaji vikali mara nyingi vinaendana na ulaji wa vyakula vyenye mafuta kwa sababu hivi huenda kukausha damu,” alisema.Marehemu aliyeacha mjane na watoto, alitarajiwa kuzikwa jana mjini humo.

Read more: http://jijiletuleo.blogspot.com/2014/11/mambo-yotee-hadharani-kifo-cha-bilionea.html#ixzz3Js4UCg4M

ANGALIA PICHA ZA MAKAHABA WAKIWA KATIKA MAWINDO JIJINI DAR: NYAKATI ZA USIKU :HATARI SANA===>



kimemnasa msaidizi wa kazi za ndani (hausigeli) akifanya biashara haramu ya kuuza mwili kwa kisingizio cha mshahara kiduchu.
Kushoto ni hausigeli akifanya biashara ya uchangudoa maeneo ya Sinza jijini Dar.Tukio hilo la aina yake liliingia kwenye kamera za OFM maeneo ya Sinza jijini Dar, mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo msichana huyo wa kazi alikutwa kwenye harakati za kusaka wanaume ili kuwapa penzi kwa malipo. Mara baada ya kumnasa na kumlamba picha akiwa na wenzake ambao nao kama yeye walikuwa wamevaa nguo fupi yaani nusu utupu, alianza kuangua kilio hasa alipokuwa akihojiwa kwa nini anajihusisha na biashara hiyo hatarishi katika maisha yake. 
“Jamani mmenipiga picha mtanipotezea kazi yangu, jamani mimi nimeajiriwa, ni mfanyakazi wa ndani kwa mheshimiwa Mikocheni (Dar), nafanya kazi za ndani hii yote ni kujitafutia riziki nje ya kazi,” alilalama binti huyo aliyekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 20 hadi 23.
Baadhi ya machangudoa wakiwa mawindoni.Binti huyo aliwaambia OFM kwamba alifikia hatua hiyo ya kujiingiza katika biashara hiyo ya ngono kutokana na ugumu wa maisha huku lawama akizielekeza kwenye mshahara kidogo wa kazi za ndani.
“Mshahara wangu ni mdogo sana, nalipwa shilingi elfu 50 kwa mwezi, nina watoto wawili kijijini hivyo hautoshi. Kama vipi nitafutieni kazi nitaacha kuuza mwili,” alisema. 
Alipoulizwa namna anavyotoka kwa bosi wake kwenda kujiuza, hausigeli huyo alisema kwamba huwa anakula dili na walinzi wa bosi wake usiku wakiwa wamelala anatoka na akirudi freshi anawakatia walinzi chao.
Machangudoa wengine wakizikimbia kamera.Alisema kuwa yeye analala katika vyumba vya uani kwa hiyo anapotoka waajiri wake hao inakuwa vigumu kumsikia kwani wanakuwa wamepitiwa na usingizi.
Aliendelea kueleza kwamba kuna siku nyingine huwa anarudi nyumbani akiwa amevuna fedha nyingi kuliko mshahara wake.

 “Hii kazi yangu inaniingizia kipato kikubwa sana kuliko mshahara,” alisema hausigeli huyo.

Home MSANII KAJALA AFUNGUKA JUU YA YEYE KUZAA TENA

MWIGIZAJI Kajala Masanja amefunguka kuwa anatamani kuongeza mtoto wa pili kwani tayari aliyenaye ameshakua vya kutosha. 

Mwigizaji wa filamu Bongo, Kajala Masanja akiwa na mwanaye Paula.
Akipiga stori na mwandishi wetu, Kajala alisema anasaka mimba kwa namna yoyote ili mwanaye Paula apate mdogo wake hivyo suala hilo lipo katika mchakato yakinifu na mpenzi wake wa sasa ambaye hakupenda kumwanika jina lake.
Kajala Masanja akipozi.
Natamani kuongeza mtoto wa pili, Paula ameshakua mkubwa lazima tumtafutie mdogo wake mambo ndiyo yatakuwa mazuri zaidi,” alisema Kajala.Mtoto huyo wa awali, Kajala alizaa na prodyuza Paul Matthysse ‘P Funk’ ambaye walishamwagana.

MBUNGE WA KIGOMA KASKAZINI DAVID KAFULILA AFUNGA NDOA PICHA ZIKO HAPA j

Hammer 
Kwenye historia ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo kuna historia nyingine inaandikwa ambapo Mbunge mwingine amefunga Ndoa.
Tumezoea Wabunge wetu wakipewa nafasi ya kuchangia jambo ndani ya kikao cha Bunge huwa wanaanza kwa pongezi, utasikia hivi; “.. Kwanza nimpongeze Mheshimiwa Mbunge au Waziri………
Jumatatu kikao cha Bunge kitaendelea na nadhani hautoshtuka ikitokea Mbunge hata mmoja akisema hivi; “… Nimpongeze sana Mheshimiwa David Kafulila, Mbunge wa Kigoma Kusini kwa kufunga ndoa siku ya Jumamosi..”
Yes.. Ni kweli.. Mbunge huyo amefunga ndoa leo Kigoma, ujumbe alioandika Zitto Kabwe kwenye ukurasa wake wa Facebook ni huu hapa; “..Bwana Harusi David Kafulila akiwa na msimamizi wa ndoa yake Deo Filikunjombe na marafiki zake David Silinde na Mwami..” halafu kuna picha aliyoiweka akiwa na Wabunge hao.
Zitto David Kafulila

Read more: http://jijiletuleo.blogspot.com/2014/11/mbunge-wa-kigoma-kaskazini-david.html#ixzz3Jryk6xJU

UNAPOUFURAHIA UJUZI WA MPENZI WAKO, HUJIULIZI KAUTOA WAPI?

Kwetu tunaamini mchawi aliyekubuhu, ni yule aliyeuwa watu wengi zaidi. Au hata ukimuona dereva anakimbiza gari barabarani unaamini ana uzoefu wa udereva wa mda mrefu na atakuwa ameshawahi kuendesha magari mbali mbali.
Sasa linapokuja swala la mahusiano, ninaona watu wanalalamika kuhusu ujuzi wa wenzi wao. Ingekuwa mimi, endapo mwenzi wangu angekuwa na kiwango kidogo cha ujuzi kwenye maswala ya chumbani, lingekuwa jambo la furaha na kheri. 
Pale unapotaka mpenzi wako awe na ujuzi wa PhD katika maswala ya chumbani, wewe unataka awe amejifunzia wapi? Kama unataka mjuzi, nenda kachukue Changu doa ambaye anajua michezo yote...
Dada zetu waliofunzwa wakatulia, na kaka zetu au wadogo zetu waliofunzwa wakatulia technically watakuwa na ujuzi mdogo na over the time katika maisha yao ya mahusiano (ndoa) wataweza kujifunza na kuimprove.
Ukimpata yule anayekupeleka puta, inabidi ukae chini na ujiulize atakuwa amewapitia au amepitiwa na wangapi mpaka akapata utaaalam huo?

NB: Sio wote wenye utaalam wa chumbani wanahistoria ndeefu (mbaya) ya kwenye mahusiano...

<<<<MAGAZETI YA LEO JUMAPILI BOFYA HAPA>>>>

Friday, November 21, 2014

KUTANA NA BASI LINALOTUMIA KINYESI CHA BINADAMU KUTEMBEA


Unaweza usiamini ama kufikiria kuwa kinyesi cha binadamu kina thamani kiasi cha kutumika kama mbadala wa mafuta katika gari lakini unaambiwa Basi la kwanza Uingereza linalotumia nishati hiyo limeingia barabarani. 

Basi hilo lenye uwezo wa kubeba abiria40 ‘Bio bus’ linatumia gesi itokanayo na kinyesi cha binadamu na takataka nyingine zinazozalishwa kwenye kiwanda kilichopo kusini Magharibi mwa nchi hiyo kuweza kutembea. 

Katika Gazeti la UHURU limeandika kuwa tanki moja la gesi hiyo lililozalishwa kutokana na kinyesi cha watu inatosha kuendesha gari hilo kwa umbali wa kilomita305.

Basi hilo rafiki wa mazingira ambalo watengenezaji wake wanasema litaboresha hewa, linaendeshwa kwa nishati ambayo ni ya kawaida,kinyesi cha binadamu ambacho ni miongoni mwa majitaka mengine. 

Watengenezaji hao walisema gari hilo la aina yake litaboresha hali ya hewa na kuthibitisha kumbe kuna thamani katika kinye si cha binadamu. 

Zipo taarifa kuwa siku si nyingi kinyesi cha binadamu kitaanza pia kuzalisha nishati kwa ajili ya simu za mkononi baada ya wataalam kutoka chuo kikuu cha East Anglia cha nchini humo. 

Gesi hiyo inazalishwa katika mtambo wa majitaka wa Wessex Water,unaendeshwa na kampuni ya nishati ya Geneco na ugunduzi ,huo unaweza kuzalisha nishati kwa ajili ya teknolojia inayobebeka kama vile simu za mkononi na hata kompyuta mpakato. 

Watetezi wa nishati hiyo wanasema basi hilo ambalo linatarajia kusafirisha abiria 10,000 kwa mwezi,linaonyesha thamani ya takataka na linaonyesha mustakabali mwema katika sekta ya usafiri wa umma.

DARASA LA MAPENZI..!! JUA JINSI YA KUZAMA CHUMVINI NA UTAMU WAKE

Chumvini-Kunyonya uke

Kwanza unatakiwa utambue kuwa baadhi ya wanawake hawako huru kukuachia wewe mwanaume ukodolee macho kwenye Kum* yake hivyo kama unampango wa “kumshukia chini” basi utalazimika au niseme hakikisha kuwa unamuandaa kwa kusifia Kum* yake, harufu asilia ya Kum* yake , mhakikishie kuwa hakuna kitu kinakufurahisha/kupa raha kama kuangalia mandhali ya Kum* yake, mwambie vipi unapenda anyoe nywele zake za huko (mnyoe ukiweza) n.k

Pamoja na juhudi zako za kusifia hakikisha unaonyesha kwa vitendo kuwa unatukuza uumbaji wa Kum* yake(unamaanisha unayosema hapo juu)…..mfano

1-Nusa chupi yake hasa pale katikati ikiwa imelowa kutokana na “kunyegeka”.

2-Ibusu (kwa juu) au busu eneo la Kum* hata kama ni mbali kidogo kwamba sehemu ya kiunoni kwa kuanzia, vilevile mnapokuwa tayari kulala weka mkono wako juu ya K yake mpaka upitiwe/apitiwe na singizi.

3-Cheza na K yake kabla ya kufanya mapenzi, kwamba ichezee na vidole kisha vilambe.

4-Sifia jinsi ilivyokuwa siku iliyopita mlipokuwa mkifanya mapenzi MF-“ unam-sms kwa kusemakuwa “kila nikikumbuka ilivyotuna/lainika unasikia raha sana” n.k.

Bikira wa chumvini.

Fanya zoezi hili la ulimi; kwa kujiangalia kwenye kioo toa ncha ya ulimi wako bila kupanua mdomo wako na bila kuung’ata na meno yako kisha upeleke ulimi huo mbele na nyuma, huku na huko taratibu, kisha chora # 8 kidoleni kwako mara mbili alafu kinyonye kidole hicho kama vile unalamba mabaki ya kitu kitamu .

Zamia sasa!
Baada ya kulambana na kukumbatiana na kila kitu shuka taratibu maeneo ya chini(usiende moja kwa moja kisimini, ukichelewa ndio raha yenyewe hiyo) pia itasaidia usiumbuke

Sasa anza kwa kubusu na kulamba taratibu sehemu ya kiunoni kuelekea chini, hamia ndani ya mapaja, rudi juu kwenye eneo zima la K lakini sio mashavuni/lips ni lile eneo la juu (msikilizie) ukiona ana-relax au kushika kichwa taratibu endelea ukiona anajibana-bana acha kwani hatokuwa tayari (jaribu siku nyingine na ongeza zoezi la kusifia mapenzi yako juu ya kiungo K).


Baada ya kutembelea eneo zima la K na yeye yuko "relaxed"(kwamba anajiachia na ku-move taratibu au kutoa miguno fulani) hamia taratibu kwenye "labia" wenyewe mnaita shavu/lips na upitishe ulimi wako kuzunguuka hilo eneo, wakati huo Kisimi kitakuwa kinaanza kuinuka (sio wote wako hivyo lakini) basi wakati huo ndio muafaka kabisa wa kukinyonya na kuachia x3 kwa kutumia midomo yako(lips) na ulimi (kama unanyonya kitu kitamu kidoleni sio kufyonza).

Baada ya hapo sasa ndio unaanza kufanya mitindo niliyoisema na hapa tuanze na Mduara a.k.a mzunguuko;

Kwa kutumia ncha ya ulimi lamba kisimi kwa kukizunguuka kwa muda kisha kinyonye na kuachia alafu endelea na mzunguuko, ongeza "speed" kutokana na mpenzi wako anavyo itikia/furahia utamu(utajua tu kutokana na movement zake au anakandamiza kichwa chako au anajinyajua kuufuata mdomo wako kama sio kutoa sauti za ajabu).


Ikiwa utachoka basi unaweza kuupumzisha ulimi wako kwa kulamba eneo na pembe zote za K kama "ice cream" vile alafu rudia kama mwanzo na mambo yatakuwa bomba.


Umbo namba 8;

Fanya kama nilivyoeleza hapo awali ila unapofika kisimini badala ya kuzunguuka chora namba nane kwenye kisimi kwa kubadilisha mfano unaanza na kulia next round unaanza na kushoto.


Pembe 2 pembe a.k.a huku na huku a.k.a juu-chini;
Fanya kama nilivyosema mwanzo kabisa lakini unapofika kwenye kisimi unatakiwa kukilamba kwa kutumia ncha ya ulimi wako kama vile unapiga vigeregere (ila sio kwa speed ya kigeregere mzee).


Hey.....Usisahau kukinyonya kisimi kwa kutumia lips na ulimi kwenye kila "mtindo" ili kupumzika na wakati huohuo kutopoteza utamu unaompatia huyo unaemnyonya (mpenzi wako).


Ukishazoea kucheza na kisimi kwa kutumia ulimi na yeye akazoea nakuwa relaxed na mkajifunza kuwasiliana while doing it mambo yatakuwa safi sana, kwani itakurahisishia wewe kujua mwendo gani anapenda zaidi, unamfikisha haraka n.k.

Vilevile wewe mwanaume ukizoea utaweza kubudi mbinu nyingine na wakati mweingine ku-mix all in one na mambo yatakuwa barabara.....ila kwa sasa fanya moja at a time mpaka hapo wote mtakapo zoea.

Kwa kuanzia sio lazima umeze yale mate yaliyochanganyikana na ute wa mwanamke (kutoakana na nyege au utamu anaoupata) unaweza ukawa unaachia mmiminiko huo kumwagikia kwenye shuka/godoro ni vema kuhakikisha kuwa chini kuna taulo au nguo yeyote ambayo itaondolewa mara baada ya kumaliza "kuzamia" ili muendelee na game lingine bila unyevu usio wa lazima.

Wanawake pia huwa wanaachia mchanganyiko huo (wengi huwa wanautumia kama "jelly" asilia unapompa mwanaume "blow&hand job"mpaka ujekuzoea ndio unaamua kama kumeza au kuachia (ni chaguo lako).

Kumbuka kufanya hivi na mpenzi unaemwamni au tumia Condom kwani Ngoma na magonjwa mengine yanaambukizika kwa ngono ya mdomo.

Chukua tahadhari, Jiheshimu, Jali, Tunza na thamini utu wako.....tumia Condom.


Kwa wale ndugu ambao ni wazoefu Big up to u all na shukurani sana kwa kutambua haki ya mwanamke kufurahia mwili wake kila anapofanya mapenzi na wewe.