STAA wa filamu Bongo ambaye miezi michache iliyopita
alifunga pingu za maisha na mwanaume mwenye asili ya Denmark, Lucy
Komba amekwea pipa kuelekea nchini humo kwenda kuishi na mumewe sambamba
na kumpelekea mwanaye amlee.
Akipiga stori na paparazi wetu kupitia Mtandao wa WhatsApp akiwa
nchini Denmark, Lucy alisema aliamua kuondoka kimyakimya na kumfuata
mumewe kwa kuwa alimisi mambo mengi kwake, pia suala la ndoa
halimuhitaji aishi mbali na mumewe na kwa kuwa mwanaume huyo anampenda
sana mtoto wake japo hajazaa naye ndiyo maana akaamua kuondoka naye
akamlee.
“Najua mtu anaweza kuongea vyovyote, mimi nilimmisi mume wangu na
mwanangu naye alitamani sana kuja kumsalimia baba yake ndiyo maana
nikamleta huku amlee ila baadaye atarejea Bongo,” alisema Lucy.
Facebook Blogger Plugin by Bongo na Matukio
Related Posts
- HATIMAYE KINACHOWAUA WASANII KWA KASI CHAJULIKANA!! SOMA HAPA KWA HABARI KAMILI..25 Dec 20140
MWAKA 2014 unakatika, matukio ya kukumbukwa ni pamoja na wasanii Bongo kupoteza maisha katika maz...SOMA ZAIDI»
- PICHAZ: MTUMZIMA SUPER STAR SINGER PATCHO MWAMBA ALA KIPIGO CHA MBWA MWIZI KWA KUBAMBWA NA MKE WA MTU!!25 Dec 20140
Picha kwa hisani ya @selfielife instagram Inasemekana kuwa mwigizaji na mwanamuziki wa Dan...SOMA ZAIDI»
- TABIA ZA MSICHANA ANAYEPENDA LAKINI HAWEZI KUSEMA NI HIZI HAPA.23 Dec 20140
1. Atakutega kupata attention yako. Hufanya mambo ambayo yatamfanya kuona kama unampenda au l...SOMA ZAIDI»
- NJIA YA KUPATA MTOTO WAKIKE AMA WAKIUME NI HII HAPA23 Dec 20140
Ni vipi jinsia ya mtoto huainishwa?Kinyume na wengi wanavyofikiria kwamba mwanamke au mwil...SOMA ZAIDI»
- WATOTO WA KIKE NA MAPENZI YA HARAKA HARAKA- WAKINA MAMA JE MNAWAELIMISHAJE NA KUWAKUZA WATOTO WA KIKE ILI KUWAANDAA KUPAMBANA NA MAISHA YA KIMAPENZI?23 Dec 20140
Hivi ni mimi tuu bado niku nyuma ama ndo kuamka kwa tamaduni zetu za kiafrika? Siku hiz...SOMA ZAIDI»
- MWALIMU ANYONGA MTOTO GESTI,MWILI WAHIFADHIWA KWENYE KORIDO HOSPITALI HAINA MOCHWARI21 Dec 20140
Askari wa jeshi la polisi wakiwa eneo la hospitali ya wilaya ya Mbogwe mkoani Geita Mwili w...SOMA ZAIDI»
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.