Story za maajabu ya ulimwengu
zinaendelea kukaa kwenye headlines kila siku, na inaponifikia cha kwanza
ninachokifanya ni kukufikishia mapema iwezekanavyo ili na wewe
usipitwe.
Ya leo inaweza kuwa moja kati ya
zilizowahi kukushangaza zaidi, inahusu mwanamke Janina Kolkiewicz raia
wa Poland, mwenye umri wa miaka 91 ambaye amekaa kwa muda saa 11 katika
chumba cha kuhifadhia maiti huku mwili wake ukiwa ndani ya jokofu baada
ya kuthibitishwa na daktari wa familia yake kwamba amefariki, muda mfupi
baadaye wahudumu wa mochwari waligundua kwamba ni mzima baada ya kuhisi
anatikisika ndani ya mfuko alimowekwa.
Baada ya kurudi nyumbani kwake akitokea mochwari, alilalamika kuhisi baridi kali na kupatiwa bakuli la supu ya moto na mkate.
Daktari aliyethibitisha mauti ya mtu
huyo anasema hata yeye anashangazwa na tukio hilo kwani vipimo vyote
vilionyesha kuwa mapigo ya moyo yalisimama na hakuwa hai.
Taarifa za kuwa hai mwanamke huyo
zilimshtua kila mtu kwenye familia yake na kujikuta ikibatilisha hati ya
kifo iliyotolewa kwa ajili ya mazishi yake ambayo yalipangwa kufanyika
siku mbili baadaye..
Facebook Blogger Plugin by Bongo na Matukio
Related Posts
- HATIMAYE KINACHOWAUA WASANII KWA KASI CHAJULIKANA!! SOMA HAPA KWA HABARI KAMILI..25 Dec 20140
MWAKA 2014 unakatika, matukio ya kukumbukwa ni pamoja na wasanii Bongo kupoteza maisha katika maz...SOMA ZAIDI»
- PICHAZ: MTUMZIMA SUPER STAR SINGER PATCHO MWAMBA ALA KIPIGO CHA MBWA MWIZI KWA KUBAMBWA NA MKE WA MTU!!25 Dec 20140
Picha kwa hisani ya @selfielife instagram Inasemekana kuwa mwigizaji na mwanamuziki wa Dan...SOMA ZAIDI»
- TABIA ZA MSICHANA ANAYEPENDA LAKINI HAWEZI KUSEMA NI HIZI HAPA.23 Dec 20140
1. Atakutega kupata attention yako. Hufanya mambo ambayo yatamfanya kuona kama unampenda au l...SOMA ZAIDI»
- NJIA YA KUPATA MTOTO WAKIKE AMA WAKIUME NI HII HAPA23 Dec 20140
Ni vipi jinsia ya mtoto huainishwa?Kinyume na wengi wanavyofikiria kwamba mwanamke au mwil...SOMA ZAIDI»
- WATOTO WA KIKE NA MAPENZI YA HARAKA HARAKA- WAKINA MAMA JE MNAWAELIMISHAJE NA KUWAKUZA WATOTO WA KIKE ILI KUWAANDAA KUPAMBANA NA MAISHA YA KIMAPENZI?23 Dec 20140
Hivi ni mimi tuu bado niku nyuma ama ndo kuamka kwa tamaduni zetu za kiafrika? Siku hiz...SOMA ZAIDI»
- MWALIMU ANYONGA MTOTO GESTI,MWILI WAHIFADHIWA KWENYE KORIDO HOSPITALI HAINA MOCHWARI21 Dec 20140
Askari wa jeshi la polisi wakiwa eneo la hospitali ya wilaya ya Mbogwe mkoani Geita Mwili w...SOMA ZAIDI»
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.