Mwanamke mmoja amenusurika kuuwawa
kutokana na kupigwa na mume wake ambaye ni askari, kisa ikiwa ni
mwanamke huyo kushindwa kumnunulia vocha.
Akisimulia mkasa huo uliotokea Uganda, mke wa askari huyo Eva Okoth amesema
mume wake alikuwa ametoka kunywa pombe na rafiki zake, akaanza
kujisikia vibaya baada ya kushindwa kula na kutapika akihisi rafiki zake
walimwekea sumu katika pombe, hivyo akampatia hela mke wake ili
akanunue vocha kuwapigia ndugu zake ili awaage kwamba anakufa.
Mwanamke
huyo anasema wakati huo ilikuwa saa 11 alfajiri, maduka yalikuwa
hayajafunguliwa, askari huyo alichukua bunduki na kuanza kufyatua risasi
huku akitishia kumuua na kujiua yeye.
Eva alikimbia kujificha jikoni, taarifa kutoka kwa msemaji wa kituo cha Polisi Lameck Kigozi amemtambua askari huyo kuwa ni John Okoth
na kueleza kuwa baada ya askari wenzake kusikia milio ya risasi
walikimbilia katika nyumba ya askari huyo na alipowaona aliendelea
kuwarushia risasi japo hakuna aliyedhurika.
Facebook Blogger Plugin by Bongo na Matukio
Related Posts
- HATIMAYE KINACHOWAUA WASANII KWA KASI CHAJULIKANA!! SOMA HAPA KWA HABARI KAMILI..25 Dec 20140
MWAKA 2014 unakatika, matukio ya kukumbukwa ni pamoja na wasanii Bongo kupoteza maisha katika maz...SOMA ZAIDI»
- PICHAZ: MTUMZIMA SUPER STAR SINGER PATCHO MWAMBA ALA KIPIGO CHA MBWA MWIZI KWA KUBAMBWA NA MKE WA MTU!!25 Dec 20140
Picha kwa hisani ya @selfielife instagram Inasemekana kuwa mwigizaji na mwanamuziki wa Dan...SOMA ZAIDI»
- TABIA ZA MSICHANA ANAYEPENDA LAKINI HAWEZI KUSEMA NI HIZI HAPA.23 Dec 20140
1. Atakutega kupata attention yako. Hufanya mambo ambayo yatamfanya kuona kama unampenda au l...SOMA ZAIDI»
- NJIA YA KUPATA MTOTO WAKIKE AMA WAKIUME NI HII HAPA23 Dec 20140
Ni vipi jinsia ya mtoto huainishwa?Kinyume na wengi wanavyofikiria kwamba mwanamke au mwil...SOMA ZAIDI»
- WATOTO WA KIKE NA MAPENZI YA HARAKA HARAKA- WAKINA MAMA JE MNAWAELIMISHAJE NA KUWAKUZA WATOTO WA KIKE ILI KUWAANDAA KUPAMBANA NA MAISHA YA KIMAPENZI?23 Dec 20140
Hivi ni mimi tuu bado niku nyuma ama ndo kuamka kwa tamaduni zetu za kiafrika? Siku hiz...SOMA ZAIDI»
- MWALIMU ANYONGA MTOTO GESTI,MWILI WAHIFADHIWA KWENYE KORIDO HOSPITALI HAINA MOCHWARI21 Dec 20140
Askari wa jeshi la polisi wakiwa eneo la hospitali ya wilaya ya Mbogwe mkoani Geita Mwili w...SOMA ZAIDI»
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.