Unaweza
usiamini ama kufikiria kuwa kinyesi cha binadamu kina thamani kiasi cha
kutumika kama mbadala wa mafuta katika gari lakini unaambiwa Basi la
kwanza Uingereza linalotumia nishati hiyo limeingia barabarani.
Basi
hilo lenye uwezo wa kubeba abiria40 ‘Bio bus’ linatumia gesi itokanayo
na kinyesi cha binadamu na takataka nyingine zinazozalishwa kwenye
kiwanda kilichopo kusini Magharibi mwa nchi hiyo kuweza kutembea.
Katika
Gazeti la UHURU limeandika kuwa tanki moja la gesi hiyo lililozalishwa
kutokana na kinyesi cha watu inatosha kuendesha gari hilo kwa umbali wa
kilomita305.
Basi
hilo rafiki wa mazingira ambalo watengenezaji wake wanasema litaboresha
hewa, linaendeshwa kwa nishati ambayo ni ya kawaida,kinyesi cha
binadamu ambacho ni miongoni mwa majitaka mengine.
Watengenezaji
hao walisema gari hilo la aina yake litaboresha hali ya hewa na
kuthibitisha kumbe kuna thamani katika kinye si cha binadamu.
Zipo
taarifa kuwa siku si nyingi kinyesi cha binadamu kitaanza pia kuzalisha
nishati kwa ajili ya simu za mkononi baada ya wataalam kutoka chuo
kikuu cha East Anglia cha nchini humo.
Gesi
hiyo inazalishwa katika mtambo wa majitaka wa Wessex Water,unaendeshwa
na kampuni ya nishati ya Geneco na ugunduzi ,huo unaweza kuzalisha
nishati kwa ajili ya teknolojia inayobebeka kama vile simu za mkononi na
hata kompyuta mpakato.
Watetezi
wa nishati hiyo wanasema basi hilo ambalo linatarajia kusafirisha
abiria 10,000 kwa mwezi,linaonyesha thamani ya takataka na linaonyesha
mustakabali mwema katika sekta ya usafiri wa umma.
Facebook Blogger Plugin by Bongo na Matukio
Related Posts
- HATIMAYE KINACHOWAUA WASANII KWA KASI CHAJULIKANA!! SOMA HAPA KWA HABARI KAMILI..25 Dec 20140
MWAKA 2014 unakatika, matukio ya kukumbukwa ni pamoja na wasanii Bongo kupoteza maisha katika maz...SOMA ZAIDI»
- PICHAZ: MTUMZIMA SUPER STAR SINGER PATCHO MWAMBA ALA KIPIGO CHA MBWA MWIZI KWA KUBAMBWA NA MKE WA MTU!!25 Dec 20140
Picha kwa hisani ya @selfielife instagram Inasemekana kuwa mwigizaji na mwanamuziki wa Dan...SOMA ZAIDI»
- TABIA ZA MSICHANA ANAYEPENDA LAKINI HAWEZI KUSEMA NI HIZI HAPA.23 Dec 20140
1. Atakutega kupata attention yako. Hufanya mambo ambayo yatamfanya kuona kama unampenda au l...SOMA ZAIDI»
- NJIA YA KUPATA MTOTO WAKIKE AMA WAKIUME NI HII HAPA23 Dec 20140
Ni vipi jinsia ya mtoto huainishwa?Kinyume na wengi wanavyofikiria kwamba mwanamke au mwil...SOMA ZAIDI»
- WATOTO WA KIKE NA MAPENZI YA HARAKA HARAKA- WAKINA MAMA JE MNAWAELIMISHAJE NA KUWAKUZA WATOTO WA KIKE ILI KUWAANDAA KUPAMBANA NA MAISHA YA KIMAPENZI?23 Dec 20140
Hivi ni mimi tuu bado niku nyuma ama ndo kuamka kwa tamaduni zetu za kiafrika? Siku hiz...SOMA ZAIDI»
- MWALIMU ANYONGA MTOTO GESTI,MWILI WAHIFADHIWA KWENYE KORIDO HOSPITALI HAINA MOCHWARI21 Dec 20140
Askari wa jeshi la polisi wakiwa eneo la hospitali ya wilaya ya Mbogwe mkoani Geita Mwili w...SOMA ZAIDI»
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.