Wazazi wengi Afrika wamekuwa hawajali
kuvitambua vipaji vya watoto wao kipindi wanapokua kwenye hatua ya utoto
na wanapoanza kukua, mfano mzuri ni kwamba ukiongea na watu ambao wana
vipaji na uwezo mkubwa kwenye mchezo kama mpira wa miguu, ama kuimba na
vinginevyo utagundua kwamba jitihada binafsi zimewaongoza kugundua
vipaji vyao na mchango wa wazazi ni mdogo ama usiwepo kabisa.
Hot news kutoka Coventry, Uingereza inamhusu Ayan Qureshi
ambaye ana umri wa miaka sita tu, na mwaka jana aliingia kwenye list ya
watoto waliofanya maajabu ambapo alifanya mtihani wa kampuni ya
Microsoft unaothibitisha wataalamu wa IT duniani na kufaulu, baba yake
ambaye ni mtaalamu wa IT anasema alimfundisha mtoto wake kuhusu masuala
ya Kompyuta tangu akiwa ana umri wa miaka mitatu.
Katika mahojiano na mtoto huyo amesema
mtihani ulikuwa mgumu lakini alienjoy kuufanya na alijiandaa kwa miezi
mingi kabla ya kuufanya, kutokana na kufaulu mtihani huo kwa sasa
anakuwa ni mtaalamu wa IT aliyethibitishwa na Microsoft ambaye ana umri
mdogo zaidi duniani.
Hii ni video ya mtoto huyo iliyopo kwenye mtandao wa Youtube, unaweza kuitazama hapa.
Facebook Blogger Plugin by Bongo na Matukio
Related Posts
- HATIMAYE KINACHOWAUA WASANII KWA KASI CHAJULIKANA!! SOMA HAPA KWA HABARI KAMILI..25 Dec 20140
MWAKA 2014 unakatika, matukio ya kukumbukwa ni pamoja na wasanii Bongo kupoteza maisha katika maz...SOMA ZAIDI»
- PICHAZ: MTUMZIMA SUPER STAR SINGER PATCHO MWAMBA ALA KIPIGO CHA MBWA MWIZI KWA KUBAMBWA NA MKE WA MTU!!25 Dec 20140
Picha kwa hisani ya @selfielife instagram Inasemekana kuwa mwigizaji na mwanamuziki wa Dan...SOMA ZAIDI»
- TABIA ZA MSICHANA ANAYEPENDA LAKINI HAWEZI KUSEMA NI HIZI HAPA.23 Dec 20140
1. Atakutega kupata attention yako. Hufanya mambo ambayo yatamfanya kuona kama unampenda au l...SOMA ZAIDI»
- NJIA YA KUPATA MTOTO WAKIKE AMA WAKIUME NI HII HAPA23 Dec 20140
Ni vipi jinsia ya mtoto huainishwa?Kinyume na wengi wanavyofikiria kwamba mwanamke au mwil...SOMA ZAIDI»
- WATOTO WA KIKE NA MAPENZI YA HARAKA HARAKA- WAKINA MAMA JE MNAWAELIMISHAJE NA KUWAKUZA WATOTO WA KIKE ILI KUWAANDAA KUPAMBANA NA MAISHA YA KIMAPENZI?23 Dec 20140
Hivi ni mimi tuu bado niku nyuma ama ndo kuamka kwa tamaduni zetu za kiafrika? Siku hiz...SOMA ZAIDI»
- MWALIMU ANYONGA MTOTO GESTI,MWILI WAHIFADHIWA KWENYE KORIDO HOSPITALI HAINA MOCHWARI21 Dec 20140
Askari wa jeshi la polisi wakiwa eneo la hospitali ya wilaya ya Mbogwe mkoani Geita Mwili w...SOMA ZAIDI»
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.