Picha nyingine aliyopiga kwa mbele ikimuonesha mwenye tabasamu na furaha tele wala bila kujali chochote.
Picha
 ya Kim Kardashian inayomwonyesha nusu mtu na nusu mnyama 
iliyotengenezwa kumdhihaki mara baada ya kuwekwa hadharani kwa picha 
zake za utupu.
Picha
 halisi iliyowekwa kwenye Intanet aliyopigwa jijini Paris mwezi Septemba
 mwaka huu kwa ajili ya jarida la Paper la Marekani.
PICHA za utupu za mwanadada maarufu duniani Kim Kardashian, 
zinazopatikana kwenye jarida la Paper la Marekani tolea la sasa 
zimeonekana 'kuutikisa' mtandao wa Intanet na kuwaacha watu na mshangao 
na mshituko mkubwa. Kwa mujibu wa mpiga picha maarufu, Jean-Paul Goude, 
aliyefanya kazi ya kumpiga picha mwanadada huyu ambaye ni mke wa Kanye 
West na mama wa mtoto mmoja, wazo la kuvua nguo lilikuwa na Kim 
mwenyewe! Wadau mbalimbali wamemponda Kim kwani wameshindwa kuelewa na 
kukubaliana naye kupiga picha ya namna hii ikiwa kama pesa anazo na yeye
 ni mke wa mtu na Kanye amekubalije mkewe kuonesha buu lake dunia 
nzima?!!.......wanasema dunia 'imesambaratika'!.
Facebook Blogger Plugin by Bongo na Matukio
 
 
Post a Comment