 
    
Wewe
 kama hujaolewa halafu unapanua miguu kwa jamaa ambae sio mume wako, 
yani boyfriend au mchumba kwa minajili ya kujipatia hela, ujue wewe ni 
changudoa. Huna tofauti na wale wanaosimama usiku kujiuza.
Japokuwa
 wewe husimami usiku lakini jijue kuwa na wewe ni changudoa kwasababu 
wote mnapewa pesa baada ya tendo. Hata kama hupewi mara tu baada ya 
tendo kama wanavyofanya changudoa wanaosimama barabarani, lakini unapewa
 pesa za matumizi na mtu ambaye si mume wako kisha ukampanulia miguu, 
jua wewe ni changudoa au 
  
    
 
Post a Comment