.
.
Kwenye list ya mastaa wa Bongo Flevs walio katika uhusiana ya kimapenzi basi lazima couple hii uhusishe ambayo Dec 20 imeingia katika hatua ya juu baada ya Nuh Mziwanda kumvisha pete ya uchumba Zuwena Mohamed aka Shilole.
Tukio hilo special  la wapenzi hao wawili lilifanyika usiku wa kushereherekea siku ya kuzaliwa kwa msanii wa Bongo Fleva Shilole ambaye aliwaalika ndugu,jamaa na marafiki mbalimbali wakiwemo wasanii wenzake.
.
.
.
.
.
Shilole akimlisha keki Msanii kutokea THT Lameck Ditto.
.
Shilole akimlisha Keki Dj Zero kutoka XXL ya CloudsFM.
.
Shilole akimlisha keki Suka kutoka idara ya muziki CloudsFM.
.
Shilole akimlisha keki mkata mkaa kutoka Temeke Mh Temba.
.
.
.
Pichani Shilole akimlisha keki Dj Nicko Track kutoka Capital Radio .
.
Picha Shilole akimlisha keki msanii Shetta.
.
Pichani Shilole akinilisha keki mtu wako wa nguvu.
.
Miongoni mwa watu waliokuwa wakirekodi tukio hilo.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Pichani Nuh Mziwanda akimvisha pete ya uchumba Shilole .
.
.
.
.
.
.
.
Pichani Shilole akionesha pete ya uchumba aliyovishwa na mchumba wake Nuh Mziwanda.
.
.
.
Watu wa nguvu.
.
.
.
.
.
.
.
Mtu wa nguvu Faraja Kyerwanda ambaye ni mtayarishaji wa Amplifaya ya Clouds FM ukiwa na msanii Linah Sanga.
.
Warembo.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Nuh Mziwanda akifanyiwa mahojiano na Millardayo.com & Ayo TV.
.
.
.
.

Soma Nafasi za kazi na ajira bofya hapa chini kutizama, Mjulishe na mwenzio

Facebook Blogger Plugin by Bongo na Matukio

Post a Comment

 
Top