Tukio la aina yake limetokea huko Kilimanjaro wilaya ya Same baada ya Msichana mrembo ambaye inasemekana na mke wa Police (JINA TUNALIHIFADHI) alyeamua kuchepuka na kijana ambaye inasemekana ni mtoto wa mjini aliyeamua kumkomoa Mke wa Afande kwa kumchukua Video makusudi wakati wakichepuka na kuamua kuisambaza kwenye mitandao ya kijamii...Ripota wetu ambaye yupo Same alitudokeza kwamba binti huyo kwa sasa anahangaika juu chini ili mumewe asiweze kuipata video hiyo ambayo imeshasambaa kila kona wilayani hapo, Hivi dada zetu huwa mnafikiria nn mpk mnakubali kurekodiwa video na vijana wahuni ambao hawana nia njema kwenu?Hembu tazama mnavyodhalilishwa hivyo.....HAYA SASA
VIDEO TUTAIWEKA BAADA YA UCHUNGUZI KUFANYIKA

Soma Nafasi za kazi na ajira bofya hapa chini kutizama, Mjulishe na mwenzio

Facebook Blogger Plugin by Bongo na Matukio

Post a Comment

 
Top