Mzee Mzima yamenishinda Kila nikijaribu Kuweka kitu yangu , Mchumba
wangu anaumia sana so tunashindwa kuendelea , miaka miwili sasa imepita
tukijaribu anaumia sana na mie namuonea huruma akishaanza kulia tu natoa
nisije muumiza...Mimi naamini mapenzi ni raha na si kuumizana so sitaki
kumuumiza wangu wa maisha ...Sasa naombeni kama kuna mtu anajua njia
raisi ya kutoa bikira ambayo mpenzi wangu hata umia hata kidogo.....
Post a Comment