Mbunge wa Ileje Aliko Kibona ndio aliuliza swali bungeni akiwa na lengo la kutaka kujibiwa na Wizara ya michezo kuhusu
sheria kwamba kila mwajiri ahahakikishe anapomlipa mfanyakazi wake bila
kujali aina ya mkataba, anamuwekea pesa katika mifuko ya hifadhi ya
jamii.. akijumlishia pia na club za soka Tanzania ziweze kuombwa
kuangalia uwezekano kuwekea hifadhi ya jamii wachezaji wake.
Mheshimiwa Ismail Aden Rage alimalizia kwa kujibu hivi; “… Kwa taarifa tu kwa bunge lako tukufu, Simba wanaujenga uwanja wao wa kisasa kule Bunju na watajenga nyumba kwa wachezaji wao…”
Facebook Blogger Plugin by Bongo na Matukio
Post a Comment