Huzuni na majonzi imetanda leo katika mji wa kahama baada ya bus la Wibonela Express linalofanya safari zake  Kahama -Dar kupinduka baada ya kutoka stand kuu ya kahama km chache toka stand katika eneo la Phantom  na kuua watu wanne.

Kwa taarifa za awali chanzo chz ajali hiyo ni mwendo kasi na Taarifa Rasmi na picha zaidi zitawajia hapo baadae.
 
www.farajimfinanga.com inakupa taarifa hizi na inakuomba uendelee kufuatilia taarifa zetu.





 












Soma Nafasi za kazi na ajira bofya hapa chini kutizama, Mjulishe na mwenzio

Facebook Blogger Plugin by Bongo na Matukio

Post a Comment

 
Top