Jamaa mmoja ambaye jina lake alikutambulika mara moja amechmwa moto
asubuhi na kufariki papo hapo baada ya kujaribu kutaka kuiba vitu
vikiwemo Laptop na vitu vyengine katika ajali iliyotokea leo asubuhi
baada la Bus la Wibonela Express kupata ajali na kuua watu wanne .
Undani wa taarifa hizi utazipata baada ya muda mfupi.
Farajimfinanga.com inashukuru kwa kutembelea mtandao wenu na inakuomba uendelee kufuatilia habari zetu.
Undani wa taarifa hizi utazipata baada ya muda mfupi.
Farajimfinanga.com inashukuru kwa kutembelea mtandao wenu na inakuomba uendelee kufuatilia habari zetu.
Facebook Blogger Plugin by Bongo na Matukio
Post a Comment