
Baadhi ya wananchi waliofika katika kituo hicho na vingine wamekuwa wakilalamika kutokuona majina yao katika picha na majina yanayobandikwa katika ukuta wa ofisi za mitaa na kata.


Baadhi
ya wananchi waliofika katika kituo hicho wakijaribu kuangalia majina
yao kama yapo au hayapo ambapo katika kituo kingine baadhi yao
walisemahawakuona majina yao japokuwa walijiandikisha katika kituo
hicho.

Wananchi
wakihangaika kuingia ndani kupatiwa vitambulisho vyao baada ya kuona
msafara hauendi na kuna watu wanaingia ndani bila utaratibu maaalumu

Afisa
wa mamlaka ya vitambulisho vya taifa (NIDA) akiita majina kwa pembeni
ili kurahisisha watu waondoke mapema ila bado wananchi wamelalamikia
utaratibu mbovu wa ugawaji wa vitambulisho.
Facebook Blogger Plugin by Bongo na Matukio
Post a Comment