Watu wawili Mvulana na msichana Ambao hawakuweza Kutambulika kwa haraka Wamekutwa Asubuhi kweupe wakiwa kwenye usingizi mzito ndani ya Gari lililopaki Pembeni ya Barabara Maeneo ya Sinza wakiwa uchi Sehemu za chini, Kwa haraka haraka inaonyesha watu hawa walikuwa wakifanya mapenzi ndani ya gari na kisha kupitiwa na Usingizi ambao inaonekana umesababishwa na pombe kupita kiasi walizokunywa usiku.
Watu walijazana na kuanza kuchukua picha kupitia madirisha mpaka wawili hao waliposhtuka na kutokomea pasipojulikana..

Soma Nafasi za kazi na ajira bofya hapa chini kutizama, Mjulishe na mwenzio

Facebook Blogger Plugin by Bongo na Matukio

Post a Comment

 
Top