bigstock-police-line-22737392-750x375
Mtoto wa mwanamke mmoja amefariki wakati mama yake alikuwa anapandishwa kizimbani baada ya kukamatwa akiuza bidhaa barabarani kinyume na Sheria.
Mtoto mwenye umri wa miaka miwili amegongwa na gari na kufa katika Makao Makuu ya Halmashauri ya jiji la Kampala KCCA, ambapo mama yake Madina Namakula alifikishwa Mahakamani Kampala, Uganda, kusomewa shitaka lake ambapo wakiwa Mahakamani hapo ndipo mtoto huyo alipopata ajali hiyo.
Kwa mujibu wa mashuhuda wamesema kuwa Polisi wamesababisha kifo cha mtoto huyo.
Mtoto huyo amezikwa leo Kampala, Uganda.
Hii ni Habari iliyosomwa na kituo cha WBS Uganda, unaweza kuikiliza hapa.

Soma Nafasi za kazi na ajira bofya hapa chini kutizama, Mjulishe na mwenzio

Facebook Blogger Plugin by Bongo na Matukio

Post a Comment

 
Top